MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY
TANGAZO
MABADILIKO YA KURIPOTI KITUO CHA KAZI KWA WAAJIRIWA WAPYA
Chuo kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kinawatangazia waajiriwa wapya kuahirishwa kwa muda wa kuripoti kituo cha kazi kama mlivyotaarifiwa awali mpaka mtakavyotaarifiwa tena . Hii inatokana na sababu ambazo ziko nje ya uwezo wetu.
Chuo kinaomba radhi kwa usumbusu wowote utakaojitokeza.
Imetolewa na
Ofisi ya Uhusiano
Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya
0 comments:
Post a Comment