Sunday 12 April 2015

Tangazo kwa waajiriwa wa MUST - 12/4/2015


MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY

TANGAZO

MABADILIKO YA KURIPOTI KITUO CHA KAZI KWA WAAJIRIWA WAPYA


Chuo kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya kinawatangazia waajiriwa wapya kuahirishwa kwa muda wa kuripoti kituo cha kazi kama mlivyotaarifiwa awali mpaka mtakavyotaarifiwa tena . Hii inatokana na sababu ambazo ziko nje ya uwezo wetu.

Chuo kinaomba radhi kwa usumbusu wowote utakaojitokeza.

Imetolewa na

Ofisi ya Uhusiano

Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya
Share:

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive